MAHITAJI YA KUPIKA VILEJA VYA TENDE
UNGA WA NGANO... VIKOMBE 2 TENDE....KJ 1 BAKING POWDER....KJ1 YAI....1 CASTODE POWDER...KJ 1 CHUMVI KIASI SUKARI YA KUSAGA/UNGA MAZIWA KIASI HAMDALASINI.... NUSU KJ KUNGUMANGA....NUSU KJ IRIKI...NUSU KJ VANILLA.....KJ 1
JINSI YA KUCHANGANYA/KUPIKA unachukuwa unga wa ngano kisha unachanganya viungo vyote isipokuwa tende na hamdalasini,iriki pamoja nakungumanga baada ya kufanya mchanaganyiko wako unachukua ngano yako baada ya kuukanda vzr na kuuweka sehem yenye ubaridi kisha unachukuwa tende unachanganya na hamdalasini,kungumanga na iriki kisha unatengeneza maumbo unayo taka ww alafu unachukuwa ngano unaiweka umbo unalotaka kisha unaweka kwenye oven na moto uwe 180 na dakika 25. |
0 Comments